Search This Blog

Saturday, October 13, 2012

Nokia Asha 311

Nokia asha 311 imeingia sokoni. Simu hii imeteka soko la smartphones kwa uwezo wake mkubwa. Hizi ni Kati ya sifa zake za pekee:
=ina wi-fi (wireless)
=touch screen imara iliyolindwa na Gorillz glass
=battery yake inakaa masaa 700 ikiwa standby
=inakaa masaa 14 ukiwaunaongea kwenye simu (bila kikomo)
=masaa 40 ukiwa unaplay miziki
=memory ya ndani ni 120MB
=RAM 128MB
=ROM 256MB
=unaweza kuweka memory card hadi ya 32GB
=camera ni 3.15MP(mega pixels)

1 comment: