Search This Blog

Saturday, October 13, 2012

Picha na video za siri za justine bieber.....

Hivi juzi kati msanii Justine Bieber aliibiwa laptop yake pamoja na camera. Baadaye mtu mmoja alijitokeza kwenye mtandao wa Twitter (ww.twitter.com) na kudai kwamba yeye ndiye mwenye laptop na amefanikiwa kuifungua na zaidi ya yote ameelezao za siri za Justine pamoja na Helena Gomez....hii ni kali kuendelea kufahamu juu ya tukio hilo endelea kutembelea blog hii na utahabarishwa soon.......

By ñěļļÿñĥō

Ki-top cha Nicki chaanika nyonyo nje...

Nicki Minaj alikuwa akiimba wimbo wake wa Moment 4 Life pale nyonyo lake lilipotoka (kidogo) kutoka kwenye ka-op alichokuwa amevaa.Show yake ilifanyika Central Park huko amrekani. Mashabiki walivyoona tukio hilo walianza kushangilia. Habari nzuri ni kwamba nyonyo za Nick Minaj zilikuwa 'attractive' hata kabla nguo yake kumuacha wazi tukio hilo liliongeza sukari tu kwenye keki....Nicki Minaj ni msanii mwenye kipaji sana jambo hili la kufunuka kwa nyonyo mbele za watu ni kumeongeza umaarufu wake kwa kiasi fulan. Even though she'll probably have to issue some sort of apology.

Nokia Asha 311

Nokia asha 311 imeingia sokoni. Simu hii imeteka soko la smartphones kwa uwezo wake mkubwa. Hizi ni Kati ya sifa zake za pekee:
=ina wi-fi (wireless)
=touch screen imara iliyolindwa na Gorillz glass
=battery yake inakaa masaa 700 ikiwa standby
=inakaa masaa 14 ukiwaunaongea kwenye simu (bila kikomo)
=masaa 40 ukiwa unaplay miziki
=memory ya ndani ni 120MB
=RAM 128MB
=ROM 256MB
=unaweza kuweka memory card hadi ya 32GB
=camera ni 3.15MP(mega pixels)

Diamond akivua nguo jukwaani,,,,,,,

Wednesday, October 10, 2012

JAMANI KUFANYIANA SUPRIZE SI JAMBO ZURI SAAAANA
Jamaa mmoja alitoka kazini mkewe akampokea na kumwambia kwamba amemwandalia 'suprize'. Mkewe akamfunga kitambaa cheusi machoni afu akamwongoza hadi ndani walipofika sebuleni mkewe akamwambia hebu nisubiri nakuja sa hivi mkewe akaingia chumbani. Jamaa kusikia mlango wa chumbani umefungwa akaachia ushuzi uliokuwa umembana muda mrefu sana... Akaachia tena mwingine kwa nguvu alafu akaenda akafungua dirisha kwa kupapasa-papasa afu akajipepea makalio yake...Ghafla akasikia mkewe anakuja akarudi haraka alipokuwa amesimama then akajikausha.....Mkewe alipofika akamwambia jamaa afungue macho jamaa alipoangalia pale sebuleni alikuta wakwe zake wanamshangaa wakiwa pamoja na wanafamilia na marafiki wengine wengi...UNGEKUWA WEWE UNGEFANYAJE
A lady goes to her parish priest one day and tells him, "Father,
I have a problem. I have two female parrots but they only know
how to say one thing." "What do they say?" the priest inquired. 
"They say, 'Hi, we're prostitutes. Do you want to have some
fun?" "That's obscene!" the priest exclaimed, "I can see why you
are embarrassed." He thought a minute and then said, "You know,
I may have a solution to this problem. I have two male parrots
whom I have taught to pray and read the Bible.

Bring your two parrots over to my house and we will put them in
the cage with Francis and Job. My parrots can teach your parrots
to praise and worship. I'm sure your parrots will stop saying
that...that phrase in no time." "Thank you," the woman
responded, "this may very well be the solution." 

The next day, she brought her female parrots to the priest's
house. As he ushered her in, she saw this two male parrots were
inside their cage, hold their rosary beads and praying. 
Impressed, she walked over and placed her parrots in with them. 
After just a couple of seconds, the female parrots exclaimed out
in unison, "Hi, we're prostitutes. Do you want to have some
fun?"

There was a stunned silence. Finally, one male parrot looked
over at the other male parrot and said, "Put the beads away,
Francis, our prayers have been answered!"